{"product_id":"mitego-ya-kisasa-na-hadithi-nyingine-paperback-1","title":"Mitego ya Kisasa na Hadithi Nyingine - Paperback","description":"\u003cdiv\u003e\u003cp style=\"text-align: right;\"\u003e\u003ca href=\"https:\/\/reportcopyrightinfringement.com\/\" target=\"_blank\" rel=\"nofollow\"\u003e\u003cb\u003eReport copyright infringement\u003c\/b\u003e\u003c\/a\u003e\u003c\/p\u003e\u003c\/div\u003e\u003cp\u003eby \u003cb\u003eKelvin Munene\u003c\/b\u003e (Author)\u003c\/p\u003e\u003cp\u003e\u003c\/p\u003e\u003cp\u003eMitego ya Kisasa na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili. Hadithi hizi ni taswira ya hali halisi ya jamii ya kisasa. Antholojia hii imeandikwa kuafiki watu wa umri wowote kutokana na lugha tutumbi iliyotumika pamoja na usahili wa visa hadithini. Ni kazi maridhawa kwa wanafunzi wa sekodari, vyuo vikuu na wenye ari ilhamu ya kujifunza lugha ashirafu ya Kiswahili. Maudhui aina ainati yaneshughulikiwa . Baadhi yao ni; unafiki, wizi, dini, mapenzi na ndoa, ushirikina na mazingaombwe, uongozi mbaya, siasa, nafasi ya vijana na akina mama katika jamii n.k\u003c\/p\u003e\n            \u003cdiv\u003e\n\u003cstrong\u003eNumber of Pages:\u003c\/strong\u003e 222\u003c\/div\u003e\n            \u003cdiv\u003e\n\u003cstrong\u003eDimensions:\u003c\/strong\u003e 0.47 x 9 x 6 IN\u003c\/div\u003e\n            \u003cdiv\u003e\n\u003cstrong\u003ePublication Date:\u003c\/strong\u003e September 15, 2023\u003c\/div\u003e\n            ","brand":"BooksCloud","offers":[{"title":"Default Title","offer_id":53752262558003,"sku":"9789914498349","price":27.25,"currency_code":"USD","in_stock":true}],"thumbnail_url":"\/\/cdn.shopify.com\/s\/files\/1\/0300\/5595\/6612\/files\/6y3JPyhpEs9789914498349_2f32530f-da92-4aa6-8b9f-b54016f6c252.webp?v=1785286375","url":"https:\/\/www.vysn.com\/products\/mitego-ya-kisasa-na-hadithi-nyingine-paperback-1","provider":"VYSN","version":"1.0","type":"link"}